Δευτέρα 17 Ιουλίου 2017

Yesu Kristo: "Ninyi ni nuru ya ulimwengu"!...


Matayo 5:14-19

14 “Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kwenye mlima haufichiki. 15 Wala hakuna mtu anayewasha taa kisha akaifunika. Badala yake, huiweka mahali pa juu ili itoe mwanga kwa kila mtu aliyemo ndani ya nyumba. 16 Hali kadhalika, nuru yenu iwaangazie watu ili waone matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu aliye mbin guni.’


Mafundisho Kuhusu Sheria

17 “Msidhani kwamba nimekuja kufuta sheria ya Musa na mafundisho ya manabii. kwamba mpaka mbingu na dunia zitaka potoweka, hakuna hata herufi moja ya sheria itakayopotea mpaka shabaha yake ikamilike. 18 Kwa hiyo ye yote atakayelegeza hata mojawapo ya amri ndogo kuliko amri zote na akawafundisha wengine kufanya hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika Ufalme wa mbinguni. Sikuja kuzifuta bali kuzitimiza. 19 Kwa maana ninawaambia hakika Lakini atakayetii amri hizi na kuwafundisha wengine kuzitii a taitwa mkuu katika Ufalme wa mbinguni.

 Picha hapa (Pwani ya Pembe)
Ona pia

Injili ya Jumapili ya Watakatifu wote
Katika mwanga wa Mungu
Vijito Vya Maji Yaletayo Uzima - "Mtu ye yote mwenye kiu na aje kwangu anywe"
Utatu Mtakatifu, Mungu ambaye anapenda ubinadamu
Yesu Kristo - Mungu akawa mtu na mtu inakuwa kama mungu
Bikira Maria, Mama wa Mungu  

Takatifu wimbo kwa ajili ya wafu - christian halisi

Kanisa la Orthodox
Wakristo Orthodox ya Afrika

Kanisa la Orthodox nchini Kenya: Liturujia takatifu, watoto na zaburi - Orthodox Church in Kenya: the holy liturgy, children and psalms

"We are called to holiness!" ― Two orthodox voices from Africa about the Sunday of All Saints (Sunday after Pentecost) 
"That is the purpose of the Church, to make people holy" : Sunday of All Saints

Tags: African Saints, Saints, Saints (another), Watakatifu, Santé, Santos, التأله
Deification


Δεν υπάρχουν σχόλια:

Δημοσίευση σχολίου